Mwandishi wa habari wa gazeti la Mwananchi mkoa wa Iringa Bi.Tumain Msowoya (pichani ) ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa nafisi ya uenyekiti wa umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa wa Iringa kwa kuwagalagaza wanaume wawili waliojitokeza akiwemo mwanahabari mwenzake Abba Ngilangwa wa radio Nuru Fm pamoja na mwalimu wa shule ya sekondari ya wazazi wa jumuiya ya wazazi wa chama cha mapinduzi sekondari ya Mwembetogwa Bw Ramadhan Baraza .
Msowoya ambaye amepata kura zaidi ya 100 wapinzani wake wameambulia mabawa kwa kupata kura chini ya 4o kila mmoja .vuta subira matokeo yanakuja dakika chache kuanzia sasa. |
0 comments:
Post a Comment