Sunday, October 7, 2012

MWANAHABARI WA GAZETI LA MWANANCHI IRINGA TUMAINI MSOWOYA AWA MWENYEKITI WA UV CCM MKOA WA IRINGA




Mwandishi  wa habari  wa gazeti la Mwananchi mkoa  wa Iringa Bi.Tumain Msowoya  (pichani ) ameibuka  na ushindi  wa kishindo katika uchaguzi wa nafisi ya uenyekiti wa umoja  wa vijana  wa chama cha mapinduzi (UVCCM) mkoa  wa Iringa kwa kuwagalagaza wanaume  wawili  waliojitokeza akiwemo mwanahabari mwenzake Abba Ngilangwa wa radio Nuru Fm pamoja na mwalimu wa shule ya sekondari ya  wazazi wa jumuiya ya wazazi wa chama cha mapinduzi sekondari ya Mwembetogwa Bw Ramadhan Baraza .

Msowoya  ambaye amepata  kura zaidi ya 100  wapinzani  wake  wameambulia mabawa kwa  kupata kura chini ya 4o kila mmoja .vuta  subira matokeo yanakuja  dakika  chache kuanzia  sasa.

0 comments:

Post a Comment