Tuesday, October 2, 2012

BREAKING NEWS….DAR EXPRESS LATEKETEA KWA MOTO SEGERA TANGA LEO.



Basi la kampuni ya Dar Express lililokuwa linafanya safiri zake Dar es Salaam – Arusha limeteketea kwa moto mchana huu maeneo ya Segera mkoani Tanga.
Mpaka sasa hakuna taarifa za Majeruhi au watu waliokufa katika tukio hilo. Kwa habari zaidi endelea kuperuzi .
Habari zitawajia punde.

0 comments:

Post a Comment