Monday, August 25, 2014

Msaidizi Wa Ofisi (Office Assistants) - HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA


Msaidizi Wa Ofisi (Office Assistants) - HALMASHAURI YA WILAYA YA RORYA
Kutoka Gazeti la Mwananchi 25 August
Kwa Mujibu wa Kibali cha Ajira Na CB 170/377/01/E/52 cha tarehe 16 Julai, 2014 kutoka kwa Katibu Mkuu Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya RORYA anawatqngazia wananchi wote wenye sifa ambao ni raia wa Tanzania kuomba nafasi za kazi kama ifuatavyo:-

Msaidizi Wa Ofisi (Office Assistants) NAFASI MOJA - (01) (a) Sifa:
(i) Awe raia wa Tanzania.
(ii) Awe wahitimuwa wa kidato cha nne (IV) waliofaulu vizuri katika masomo ya kiingereza, Kiswahili na Hisabati.
(iii) Wawe waadilifu, wabunifu na wawajibikaji. (b). Kazi na Majukumu.
(i) Kufanya usafi wa ofisi na Mazingira ya nje na ndani ikiwa ni pamoja na kufagia, kufuata vumbi, kupiga deki, kukata majani, kupalilia bustani, kumwagilia maji bustani, kupanga maua na miti na kusafisha vyoo.
(ii).Kuchukua na kupeleka majalada na hati nyingine kwa maofisa wanaohusika na kuyarudisha
sehemu zinazohusika.
(iii) Kusambaza barua za ofisi kama jinsi watakavyo elekezwa. (iv) Kutayarisha chai ya ofisi.
(iv) Kupeleka mifuko ya posta na kuchukua barua kutoka posta.
(v) Kuhakikisha kwamba vifaa vya ofisi vinawekwa sehemu zinazostahili,kufungua Milango na Madirisha ya Ofisi wakati wa Asubuhi na Jioni kuyafunga baada ya Saa za Kazi.
(vi) Kudurufu barua au rnachapisho kwenye mashine za kudurufia na kutunza vifaa vya ofisi na kutoa ripoti kila vinapoharibika.
(e) Mshahara: TGOS A (yaani 265,000 na kuendelea.


APPLICATION INSTRUCTIONS:

MAMBO VA JUMLA YA KUZINGATlA.
1. Waombaji wawe na umri kati ya miaka 25-40.
2. Waombaji wote waambatanishe vivuli vya vyeti vyao kwenye barua za maombi, pia waandike
Namba zao za Simu.
3. Barua zibandikwe picha mbili za (Stamp size)
4. Usaili, wataarifiwa tarehe wale watakaotimiza masharti yaliyotajwa.
5. Maombi vote yatumwe kwa anuani ifuatayo.

Mkurugenzi Mtendaji (W)
Halmashauri ya Wilaya
S.L.P 250,
TARIME/Rorya.
6. Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 15/09/2014 saa 9.30 alasiri na maombi yatakayowasilishwa baada ya muda huo hayatapokelewa.
Gerald N Ruzika
Katibu Bodi ya Ajira
Rorya


Related Posts:

  • Various Middle East Post Method & Procedure Engineer ( 6-8 yrs. )AL MANSOOR ENTERPRISES L.L.C. Abu Dhabi - United Arab EmiratesProvides onsite technical support to field operations to ensure continuous, efficient and safe operations. Monitors o… Read More
  • Neno la leoHere is your word for today:Verse:           Psalm 139:23-24 Search me, O God, and know my heart; test me and know my anxious thoughts. See if there is any offensive way in me, and lead me in the way everlasting. - God is int… Read More
  • Call for submissions IMPACT Business Award 2011The IMPACT (Innovative Models Promoting Adaptation and Climate Technologies) Business Award rewards enterprises that apply innovative business solutions in combating Climate Change. The IMPACT Business Award implemented on… Read More
  • Registrar.The Architects & Quantity Surveyors Registration Board. Area: Dar Es SalaamApplication Deadline: 02/11/2011Qualifications• Holder of a basic university degree or equivalent qualification in either Architecture or quan… Read More
  • Liberia opposition 'boycott poll'Liberia opposition 'boycott poll' Opposition parties condemn the National Elections Commission's handling of the presidential poll. Continue reading the main story Related Stories Liberia heading for poll ru… Read More

0 comments:

Post a Comment