Tuesday, June 17, 2014

MAJINA NA SHULE ZILIZOPANGIWA WANAFUNZI 2014


MAJINA NA SHULE ZILIZOPANGIWA WANAFUNZI 2014
Nafasi za kujiunga na kidato cha nne mwaka 2014  kwa wanafunzi waliomaliza mwaka jana zimetangazwa rasmi muda huu jijini dare s salaam na naibu waziri wa TAMISEMI  Bw KHASIM MAJALIWA  ambapo zaidi ya wanafunzi 16800 wamekosa nafasi hizo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo upungufu wa shule za kidato cha tano

       Akitangaza majina na shule walizopangiwa wanafunzi hao Mh MAJALIWA amesema kuwa jumla ya wanafunzi 54085 sawa na alimilia 75.61 ya wanafunzi 71527 waliostahili kuingia kidato cha tano mwaka huu wamechaguliwa huku wavulanai ni 31352 wakati wasichana ni 22733 ambapo ni sawa na ongezeko la wanafunzi 20402 kwa kulinganisha na wanafunzi 33683 walochaguliwa mwaka jana.

  Wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na shule mbalimbali wataanza kuripot katika meneo yao tarehe 10 julai mwaka huu ambapo mwisho wa kufika katika shule walizopangiwa ni tarehe 30 julai mwaka huu ambapoamesema kuwa kwa wale ambao watakuwa hawajiripot hadi tarehe hiyo nafasi zao zitajazwa na waliokosa nafasi.

KWA MAJINA NA SHULE ZILIZOPANGIWA TEMBELEA




Related Posts:

  • Senior HR Advisor, Retail Banking & MortgagesJob Title : Senior HR Advisor, Retail Banking & Mortgages Source : KCB Tanzania Requirements : University Degree from a recognized institution. Possession of a postgraduate degree in a related field will be an added ad… Read More
  • Talent ManagerJob Title : Talent Manager Source : KCB Tanzania Requirements : University degree from a recognized institution. Possession of a postgraduate degree or professional qualifications in a related field will be an added advanta… Read More
  • Jobs & Fellowships/* default styles for extension "tx_feevcal_pi1" */ /* List Events */ #In_Progress {color:red;} #category_current {BORDER-TOP:#000000 1px solid; BORDER-LEFT:#000000 1px solid; BORDER-RIGHT: #000000 1px solid; BOR… Read More
  • Program Officer, Monitoring and EvaluationJob Title : Program Officer, Monitoring and Evaluation Source : The Guardian, October 3, 2011 Requirements : University Degree or Advanced Degree in demography, Public health, Epidemiology or biostatistics Job Description :A… Read More
  • Financial Controller Job Title : Financial Controller Source : The Guardian, October 3, 2011 Requirements : CPA required: MBA prefered Job Description :Implement grant tracking/monitoring system, monitoring grant expenditures in order to ide… Read More

0 comments:

Post a Comment