Saturday, May 17, 2014

CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI

 
 
 

Mlezi wa chama  cha Chawakama na mwalimu wa kiswahili chuo kikuu cha Iringa Tulla Tweve  akitambulisha  wageni
Mmoja kati ya  viongozi akieleza malengo ya Chawakama
Mwalimu Chalamila akieleza  maana ya lugha ya kiswahili
Mwalimu wa kiswahili  chuo cha Iringa ambae ni msanii wa wimbo wa Mufindi yetu  akiburudisha
Wanachama  wakicheza  na msanii  huyo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment