Sunday, September 1, 2013

WADAU WA UTOAJI HAKI WA CHAMA CHA MAJAJI WANAWAKE NCHINI WAKUTANA KUJADILI UTOKOMEZAJI WA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YANAYOAMBATANA NA RUSHWA YA NGONO


WADAU WA UTOAJI HAKI WA CHAMA CHA MAJAJI WANAWAKE NCHINI WAKUTANA KUJADILI UTOKOMEZAJI WA MATUMIZI MABAYA YA MADARAKA YANAYOAMBATANA NA RUSHWA YA NGONO
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo nchini (WAMA),mama Salma Kikwete (kulia) akizungumza na washiriki wa warsha ya utoaji Haki juu ya kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana na rushwa ya ngono mara baada ya kukabidhiwa kitabu cha mwongozo wa namna ya kushughulikia mashauri mbalimbali ya kisheria alichokabidhiwa na Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania Mh. Jaji Engera Kileo leo jijini Dar es salaam.
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo nchini (WAMA) mama Salma Kikwete (kushoto) akizungumza jambo na Bi. Salome Anyoti Mwakilishi wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya Jinsia, Usawa na Uwezeshaji wa Wanawake leo jijini Dar es salaam.
Baadhi ya Washiriki wa warsha ya utoaji Haki juu ya kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana na rushwa ya ngono wakiwemo waheshimiwa Majaji wakifuatilia mada mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa wakati wa warsha hiyo ya siku 1.
Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo nchini (WAMA) , mama Salma Kikwete (kulia) akiagana na viongozi wa Chama Cha Majaji Wanawake Tanzania mara baada ya kufungua wa warsha ya siku 1 ya utoaji Haki juu ya kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana na rushwa ya ngono.
Washiriki wa warsha ya utoaji Haki juu ya kutokomeza matumizi mabaya ya madaraka yanayoambatana na rushwa ya ngono wakiwa katika picha ya pamoja na mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) leo jijini Dar es salaam.Picha na Aron Msigwa - MAELEZO



Related Posts:

  • Quality Improvement Advisors - 3 PostsJob Title : Quality Improvement Advisors - 3 Posts Source : The Guardian, June 30, 2011 Requirements : Experience in implementing newborn and child health programs, including … Read More
  • Administrative SpecialistJob Title : Administrative Specialist Source : The Guardian, June 30, 2011 Requirements : Candidates will have 2 or more years managing an office, preferably for USAID funded … Read More
  • Receptionist - 3 PostsJob Title : Receptionist - 3 Posts Source : The Guardian, June 30, 2011 Requirements : Holder of a Secretarial Certificate at a recognized institute to include short hand, o… Read More
  • Deputy Claims ManagerJob Title : Deputy Claims Manager Source : The Guardian, June 30, 2011 Requirements : � A university degree � An advanced diploma in insurance � At least 4 years working exper… Read More
  • Marketing ExecutiveJob Title : Marketing Executive Source : The Guardian, June 30, 2011 Requirements : � UG - Any Graduate - Any Specialization � PG - Any PG Course - Any Specialization … Read More

0 comments:

Post a Comment