Samaki huyu amevuliwa na kilo kilo 233.5 na urefu wa mita 2.63, wavuvi hao wanasema ilikuwa ni battle ya zaidi ya dakika 90 ili kumvua huyo samaki.Kiongozi wao anasema walidhani ndoano yao imenasa kwenye manowari kwasababu ilikuwa ngumu kuivuta
Monday, August 19, 2013
Wavuvi wamvua samaki mwenye kilo zaidi ya 200.
By Gemmstore at 9:25 AM
No comments
Samaki huyu amevuliwa na kilo kilo 233.5 na urefu wa mita 2.63, wavuvi hao wanasema ilikuwa ni battle ya zaidi ya dakika 90 ili kumvua huyo samaki.Kiongozi wao anasema walidhani ndoano yao imenasa kwenye manowari kwasababu ilikuwa ngumu kuivuta
0 comments:
Post a Comment