Thursday, August 22, 2013

TIGO YACHEZA DROO YAKE YA TANO NA KUWAZAWADIA WASHIDI WAKE SITA!



TIGO YACHEZA DROO YAKE YA TANO NA KUWAZAWADIA WASHIDI WAKE SITA!
  Msimamizi wa Masoko na Biashara wa Tigo, Gaudens Mushi  akimtazama mmoja ya washindi wa droo ya tano ya Promotion ya Miliki Biashara yako na Tigo, Furaha Hasani akipunga mkono kwa watu mara baada ya kukabidhiwa Bajaji yake katika eneo la Tandika  Jijini Dar es Salaam.
 Meneja Uzalishaji Tigo, Hussein Seif akimkabidhi funguo ya Bajaji mmoja ya washindi wa droo ya tano ya Promotion ya Miliki Biashara yako na Tigo, Bi Happines Ndeki Mkazi wa Kinondoni (Kushoto) mara baada ya kukabidhiwa Bajaji yake katika eneo la Tandika  Jijini Dar es Salaam.




0 comments:

Post a Comment