Wednesday, October 3, 2012

KAULI YA LEO: FERGUSON NDIO BOSI WA MAKOCHA WOTE - ASEMA JOSE MOURINHO



"Kitu kizuri kuhusu kuwepo pale (kwenye Premier league) ni kufundisha, kwa sababu nafikiri soka itapoteza vitu vingi sana mara Sir Alex Ferguson atakapoacha kufundisha na hakuna makocha wengi vijana wala wazee. 
Kwangu mimi, Fergie ndio boss. Namuita Sir Alex bosi kwa sababu ndio bosi wa makocha wote na ninatumaini kwamba nitakapoenda tena kwenye soka la England atakuwa bado anaifundisha Manchester United." 
Jose Mourinho, jana akimwelezea Sir Alex Ferguson wakati akihojiwa na CNN.

0 comments:

Post a Comment