Saturday, September 22, 2012

Wakazi wa Jiji la Mbeya walipokea vyema Tamasha la Serengeti Fiesta 2012


Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Linah akiimba kwa hisia jukwaani usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti Fiesta 2012 kwenye uwanja wa Sokoine,Mkoani Mbeya.
 Mashabiki kibao.
 Wasanii wa Filamu hapa nchini Aunt Ezekiel,Wema pamoja na Shilole wakiwasikiliza mashabiki wao wanataka nini.
Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya,Diamond akiwaimbisha mashabiki na wapenzi wa muziki huo waliojitokeza kwa wingi usiku huu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta,kwenye uwanja wa Sokoine,mkoani Mbeya.
 Shemejiii....Wema Sepetu akiwachetua kidogo wapenzi wa mambo ya filamu.
Msanii wa bongofleva kutoka THT,Barnaba akiwaimbisha mashabiki wake usiku huu kwenye tamasha la serengeti fiesta 2012 ndani ya uwanja wa Sokoine mkoani Mbeya.Popout

Wadau wakifuatilia tamasha la Serengeti Fiesta likiendelea usiku huu.
Watu kibao ndani ya sokoine usiku huu.
Mmoja wa wasanii mahiri wanaotikiza kwenye anga ya muziki wa bongofleva hasa katika miondoko ya R&B,Ben Paul akikamua vilivyo jukwaani huku mashabikiwa wake wakishangilia kwa shangwe. 
Pichani kulia ni Mkuu wa wilaya ya Mbeya  Mh. Dkt. Norman Sigallah akimtaja mshindi wa gari aina ya Vits itolewayo na kampuni ya Push Mobile,ikiwa ni sehemo mojawapo ya mchakato wa tamasha la Serengeti Fiesta 2012,anayeshuhudia ni Meneja masoko wa Push Mobile Rugambo Rodney na kulia ni Chiku Saleh kutoka bodi ya michezo ya kubahatisha ,ambapo  katika bahati nasibu hiyo iliyochezeshwa,aliyeibuka mshindi ni   Eva B Mgovani. 
 ni full kujiachi tuu ndani ya uwanja wa sokoine usiku huu.
Pichani kati ni Mkuu wa wilaya ya Mbeya  Mh. Dkt. Norman Sigallah akiwa katika picha ya pamoja na Meneje vipindi wa Clouds FM,na mdau mwingine.
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya anaefananishwa na mashabiki wake kama Ray C,aitwaye Recho kutoka THT akitumbuiza jukwaani usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti Fiesta 2012
 Mashabiki wakishangilia vilivyo usiku huu,huku makamuzi ya wasanii yakiendelea jukwaani.
 Msanii wa bongofleva anaetikisa kwa nyimbo kadhaa ikiwemo,Mama halima,Aifora na nyinginezo akiwaimbisha mashabiki wake kama waonekanavyo pichani usiku huu.
Mkali mwingine anaekuha juu katika mambo ya kuchana a.k.a kughani Stamina akiamsha kitim kitim kwa wakazi wa mji wa Mbeya usiku huu ndani ya tamasha la Serengeti Fiesta.



Related Posts:

  • TATC JOBS OCT 2012 TANZANIA AUTOMOTIVE TECHNOLOGY CENTRE (NYUMBU)Tanzania Automotive Technology Centre (TATC), synonymously known as "Shirika  la Nyumbu", was formally established on 14th December 1985, through a Presidential Order,made un… Read More
  • NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT JOBS OCT 2012 NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT (NIT)The National Institute of Transport is a body corporate established by Act No. 24 of 1982  as an autonomous Institute of Higher Learning under the Ministry of Transport. The Institute is… Read More
  • NECTA JOBS OCT 2012 NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA (NECTA)The National Examinations Council of Tanzania is a Government Institution which is under the Ministry of Education and Vocational Training. NECTA was established by thePar… Read More
  • UNDP Project Management Specialist;Democratic Empowerment Project United Nations Development Programme (UNDP) Tanzania invites applications from qualified candidates to provide consultancy as Project Management Specialist. The Project Management Expert/Consultant will be required to assum… Read More
  • PROJECT MANAGER: CAPACITY FOR REFORM MANAGEMENT AND IMPLEMENTATION Position title:Project Manager Project Title:Capacity for Reform Management and Implementation - ZanzibarDuration:1 year with possible extension.Starting Date ImmediatelyDuty Stations: Zanzibar, President's Office Fin… Read More

0 comments:

Post a Comment