Hivi karibuni pamekuwa na shindano jipya lijulikanalo kama Seven Natural Wonders, linaloshindanisha vivutio mbalimbali vya asili vinavyopatikana katika kila bara. Shindano hilo linaloendeshwa kwa kupiga kura kupitia tovuti ya http://sevennaturalwonders.org linashindanisha vivutio vya utalii kumi na viwili (12) katika bara la Afrika. Tanzania ni nchi pekee yenye vivutio vingi katika orodha hiyo. Vivutio vya Tanzania ni Mlima Kilimanjaro, Bonde la Ngorongoro, na hifadhi ya Serengeti. Watanzania na watu wote duniani wanahamasishwa kuvipigia kura vivutio hivyo vitatu (3).
Thursday, August 16, 2012
UHAMASISHAJI WA KUPIGIA KURA MLIMA KILIMANJARO, BONDE LA NGORONGORO NA TUKIO LA KUHAMA WANYAMA KATIKA HIFADHI YA SERENGETI KATIKA SHINDANO LA MAAJABU SABA YA ASILI KATIKA BARA LA AFRIKA
By Gemmstore at 10:07 PM
No comments
Related Posts:
Senior Programme Officer for Women’s Funds Senior Programme Officer for Women's Funds The Senior Programme Officer for Women's Funds (SPO) leads a flagship programme area at Mama Cash. The SPO implements the prog… Read More
Officer Resource Mobilisation/Partnerships Officer Resource Mobilisation/Partnerships IICD Foundation is a Dutch based NGO active in the field of ICT for development. IICD is specialised in Information and Commun… Read More
Research Associate (2 Positions), Helsinki, Finland Research Associate (2 Positions), Helsinki, Finland POSITION: Personal Service Agreement REFERENCE NO.: 2014/UNU/WIDER/PSA/RA/35 LOCATION: Helsinki, Finland … Read More
Coordinator – Right to a Liveable Environment Coordinator – Right to a Liveable Environment OtherWise is a small but far-reaching NGO associated with Wageningen UR, its main aim is to empower people to achieve a sustainable … Read More
R&D Principle Engineers/R&D Senior Engineers R&D Principle Engineers/R&D Senior Engineers Sandvik in Sandviken is looking for R&D Principle Engineers/R&D Senior Engineers Are you ready for an exciting… Read More
0 comments:
Post a Comment