Wednesday, August 8, 2012

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI SEFUE ATEMBELEA HAZINA NANENANE DODOMA.


Mkuu wa kitengo cha Menejimenti ya Mikataba kutoka Wakala wa Huduma ya Ununuzi Serikalini [GPSA]  Mordecai Matto (kulia) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(kushoto) mjini Dodoma juu ya kudhibiti matumizi mabaya ya fedha za umma yaliyokuwa.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa pili kulia)  akisamiliana na watumishi na Chuo Cha Usimamizi wa Fedha (IFM)Mchambuzi wa Mifumo ya Komputya Ibrahim Sultan (katikati) na Afisa Taalum Mwandamizi Mkiramwene Msafiri(kushoto) mjini Dodoma alipotembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nanenane mjini Dodoma.

Mchumi Mwandamizi Idara ya Bajeti Wizara ya Fedha Adam Msumule ( wa pili kushoto)  akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(mwenye miwani) jinsi wanavyoelimisha wananchi juu ya uchambuzi wa bajeti kwa njia rahisa ili waweze kujua mapato na matumizi ya serikali kwa mwaka husika  wa fedha wakati Kiongozi huyo Mwandamizi wa serikali alipotembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nanenane mjini Dodoma.

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue(kulia)  akisaini kitabu cha wageni  mjini Dodoma alipotembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonyesho ya wakulima ya nanenane mjini Dodoma kuona shughuli mbalimbali za Wizara hiyo katika maonyesho ya nanenae.Kushoto ni Afisa kutoka Wizara ya Fedha Ramadhan Omary.(Picha na Hazina).




Related Posts:

  • Office Attendant-EGPAFOffice Attendant Requirements : Certificate of Secondary education, Ability to communicate in national language (Swahili) and English Job Description… Read More
  • Australia Awards - PhDs for Agriculture PhD SCHOLARSHIPS FOR AGRICULTURE-RELATED STUDY, COMMENCING IN AUSTRALIA IN 2013   PhD scholarships call is now open at http://www.adsafrica.com.au/countryAgriculture.php Closing date: 30 April 2012   The Australian Governme… Read More
  • Neno la LeoHere is your word for today:Verse:           Philippians 4:19 My God will liberally supply ALL your needs according to His glorious riches in Christ.- God is in the business of supplying needs. - God knows what you need.- Bec… Read More
  • Chief Operating Officer-ONGEZA Chief Operating Officer Requirements : MBA or equivalent education/experience. Job Description :The Chief Operating Officer will run the company&#… Read More
  • Global Service Corps (Tanzania) is looking for a Country Director  Country Director Job Description WORKING STATION: Arusha officeSTARTING DATE: No later than April 1, 2012DURATION: Two year contract, renewable yearly thereafter. Half-time position during orientation period, transitioni… Read More

0 comments:

Post a Comment