Sunday, July 29, 2012

SHEREHE YA KUTOLEWA MAHARI NA KUVISHWA PETE YA UCHUMBA KWA MISS SABINA ALEXANDAR ALIVEISHWA NA KASIAN.


Raha ya wapendanao ,Miss Sabina Alexander akiwa katika pozi ya picha na mchumba wake Kasian Ernest ,baada ya kutole mahali na kuvishwa pete ya uchumba katika hafla iliyofanyika Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
  Kasian Ernest, akimvisha pete mchumba wake  Sabina Alexander wakati wa sherehe ya kutolewa mahali ilyofanyika nyumbani kwao Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
  Kasian Ernest, akiwa na mchumba wake na Rafiki yake mkubwa Prisca (kulia)  wakati wa  sherehe ya kutolewa mahali ilyofanyika nyumbani kwao Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. iliyoambatana na hafla ya kuvishwa pete.
 Vifaa mbalimbali vya mahari viitolewa
 Wadau Wakipiga msosi wa nguvu
Picha ya Pamoja baada ya Sherehe

0 comments:

Post a Comment