Thursday, December 17, 2015

KUITWA KWENYE USAILI - HALMASHAURI YA WILAYA YA BUSEGA



Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega anawatangazia waombaji waliokidhi vigezo kufuatia Tangazo la kazi lililotolewa kwenye gazeti la Mtanzania la tarehe 13 oktoba , 2015 kuitwa kwenye usaili utakaofanyika tarehe 29-30 /12/2015 - usaili utafanyika katika ukumbi wa TRC NYASHIMO kuanzia saa 2:00 asubuhi .

Kwa maelezo zaidi angalia MTANZANIA , ALHAMISI , DESEMBA 17 , 2015 


Related Posts:

  • Nafasi za Kazi-SAVE THE CHILDREN SAVE THE CHILDREN 1.     Job Title : Community Development Officer Source : The Guardian, January 24, 2012 Requirements : Degree in health, community development, social science or relevant fields of study Job Descripti… Read More
  • ILRI vacancy: research assistant – ReSAKSS (closing 31 January 2012)Vacancy Number: RA/RESAKSS/MARKETS/01/12 Department: Markets Location: Nairobi, Kenya Duration: 2 years contract Renewable The International Livestock Research Institute (ILRI) works at the crossroads of livestock and povert… Read More
  • Nafasi za kazi-Barrick Jan 2012 Barrick 1.     Job Title : Human Resources Superintendent Source : Daily News, January 24, 2012 Requirements : Masters Degree in Business Administration, Public Administration or Human Resources management Job Descript… Read More
  • Nafasi za kazi Concern Tanzania Concern Tanzania 1.     Job Title : Administrator Source : The Guardian, January 24, 2012 Requirements : Diploma in Accountancy or Finance or Administration Job Description :Will manage the office and will provide overa… Read More
  • Nafasi ya kazi _Plan International Tanzania Plan International Tanzania Job Title : Community Development Facilitators - 2 Posts - Kibaha Source : The Guardian, January 24, 2012 Requirements : Degree in Community Development, Development studies, business sociolog… Read More

0 comments:

Post a Comment