NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA
Taasisi ya fedha ya Mikopo Finance Limited iliyopo Dar es Salaam inatangaza nafasi za kazi za kujitolea katika nafasi Ifuatayo;
Ofisa wa kukusanya madeni (Recovery Officer)-Nafasi tatu (3)
Kazi kuu ya Afisa itakuwa kumsaidia Afisa mikopo kukusanya marejesho ya mikopo kutoka kwa wadaiwa wetu.
Maombi yatumwe katika email Ifuatayo; hr@mikopofinance.co.tz
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 26/02/2015
Taasisi ya fedha ya Mikopo Finance Limited iliyopo Dar es Salaam inatangaza nafasi za kazi za kujitolea katika nafasi Ifuatayo;
Ofisa wa kukusanya madeni (Recovery Officer)-Nafasi tatu (3)
Kazi kuu ya Afisa itakuwa kumsaidia Afisa mikopo kukusanya marejesho ya mikopo kutoka kwa wadaiwa wetu.
Maombi yatumwe katika email Ifuatayo; hr@mikopofinance.co.tz
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 26/02/2015
0 comments:
Post a Comment