Friday, November 7, 2014

ARTISAN( CONSTRUCTION) II ( X 3)


ARTISAN( CONSTRUCTION) II ( X 3)
SIFA ZA MWOMBAlI:
Awe amehitimu elimu ya Kidato cha nne au cha Sita.
Awe amefunzu katika Stashahada ya kawaida katika fani za ufundi wa ujenzi kutoka chuo kinachotambuliwa na serikali


APPLICATION INSTRUCTIONS:

MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA:

Mwombaji awe Raia wa Tanzania na awe tayari kufanya kazi sehemu yoyote kwenye Halmashauri ya Mji wa Babati.
Barua za maombi ziambatanishwe na nakala za vyeti vya elimu, Taaluma, Cheti cha kuzaliwa na picha mbili za rangi (Passport size)
Barua za maombi ziambatanishwe na maelezo Binafsi ya mwombaji (CV).
Waombaji waliosoma nje ya nchi, waambatanishe uthibitisho wa vyeti vyao kutoka Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).
Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 25/11/2014 saa 9:30 Alasiri.
. Waombaji wote wanatakiwa wawe na umri usiozidi miaka 45.
Maombi vote yatumwe kwa anwani ifuatayo:

Mkurugenzi wa Mji, Halmashauri ya Mji,
S. L. P. 383,
BABATI.

Omari M. Mkombole MKURUGENZI WA MJI BABATI


Related Posts:

  • PRINCIPAL LIBRARY ASSISTANT PRINCIPAL LIBRARY ASSISTANT The Institute of Social Work (ISW) is a government higher learning institution established by the National Social Welfare Training Institute … Read More
  • GEOGRAPHICAL INFORMATION SYSTEMS (GIS) OFFICER GEOGRAPHICAL INFORMATION SYSTEMS (GIS) OFFICER Kigoma/Ujiji Urban Water Supply and Sanitation Authority (KUWASA) is an Autonomous Utility which was established under section 3(1)… Read More
  • PASTORALISM ADVOCACY OFFICER PASTORALISM ADVOCACY OFFICER KINNAPA Development Programme is a Community Based non-profit making organization.  It was set up in the early 1990s by six villages to deal with land en… Read More
  • Records Management Assistant Records Management Assistant The Institute of Social Work (ISW) is a government higher learning institution established by the National Social Welfare Training Institute … Read More
  • NUTRITIONIST – 1 POST. NUTRITIONIST – 1 POST. KINNAPA Development Programme is a Community Based non-profit making organization.  It was set up in the early 1990s by six villages to deal with land encroach… Read More

0 comments:

Post a Comment