MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA MASASI
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya masasi anatangaza nafasi za kazi kwa raia wa wa Tanzania wenye sifa kama ifuatavyo:-
KATIBU MUHTASI III (NAFASI 3)
SIFA:
• Awe amehudhuria mafunzo ya uhadhili na kaufaulu mtihani wa hatua ya tatu.
• Awe amefaulu somo la hatimkato ya Kiswahili na kiingereza maneno 80 kwa dakika moja.
• Awe amepata masomo ya kompyuta katika chuo kinachotambuliwa na serikali na kupata cheti katika program za windows, Microsoft office, internet,E-mail na publisher.
MSHAHARA:
• Mhahara ni katika ngazi ya mshahara ya TGS B
MAJUKUMU
• Kuchapa barua taarifa na nyaraka za kawaida
• Kusaidia kupokea wageni.
• Kusaidia kutuinza taarifa na kumbukumbu za matukio, miadi ya wageni n.k
• Kusaidia na kumpatia mkuu wake majarada na nyaraka nk.
• Kutekereza shughuli zote atazopangiwa na simamizi wake wa kazi.
MASHARTI YA JUMLA.
• Awe raia wa Tanzania.
• Awe na elimu ya kidato cha nne au sita.
• Awe na umri usiozidi miaka 45.
• Awe na akili timamu.
NAMNA YA KUTUMA MAOMBI.
Maombi yatumwe kwa :-
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
HALMASHAURI YA WILAYA
S.L.P 60
MASASI
Mwisho wa kutuma maombi tarehe 10/10/2014 saa 9:30 alasili maombi yaambatanishwe na nakala za vyeti ya shule na vya chuo CV na vyeti vya kuzaliwa.
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
HALMASHAURI YA WILAYA
MASASI
CHANZO: GAZETI LA MAJIRA LA TAREHE 1 OKTOBA 2014.
Barua zote zielekzwe kwa mkurugenzi mtendaji (W)
TANGAZO LA KAZI.Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya masasi anatangaza nafasi za kazi kwa raia wa wa Tanzania wenye sifa kama ifuatavyo:-
KATIBU MUHTASI III (NAFASI 3)
SIFA:
• Awe amehudhuria mafunzo ya uhadhili na kaufaulu mtihani wa hatua ya tatu.
• Awe amefaulu somo la hatimkato ya Kiswahili na kiingereza maneno 80 kwa dakika moja.
• Awe amepata masomo ya kompyuta katika chuo kinachotambuliwa na serikali na kupata cheti katika program za windows, Microsoft office, internet,E-mail na publisher.
MSHAHARA:
• Mhahara ni katika ngazi ya mshahara ya TGS B
MAJUKUMU
• Kuchapa barua taarifa na nyaraka za kawaida
• Kusaidia kupokea wageni.
• Kusaidia kutuinza taarifa na kumbukumbu za matukio, miadi ya wageni n.k
• Kusaidia na kumpatia mkuu wake majarada na nyaraka nk.
• Kutekereza shughuli zote atazopangiwa na simamizi wake wa kazi.
MASHARTI YA JUMLA.
• Awe raia wa Tanzania.
• Awe na elimu ya kidato cha nne au sita.
• Awe na umri usiozidi miaka 45.
• Awe na akili timamu.
NAMNA YA KUTUMA MAOMBI.
Maombi yatumwe kwa :-
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
HALMASHAURI YA WILAYA
S.L.P 60
MASASI
Mwisho wa kutuma maombi tarehe 10/10/2014 saa 9:30 alasili maombi yaambatanishwe na nakala za vyeti ya shule na vya chuo CV na vyeti vya kuzaliwa.
MKURUGENZI MTENDAJI (W)
HALMASHAURI YA WILAYA
MASASI
CHANZO: GAZETI LA MAJIRA LA TAREHE 1 OKTOBA 2014.
0 comments:
Post a Comment