Friday, September 5, 2014

KATIBU MUHTASI DARAJA LA II


KATIBU MUHTASI DARAJA LA II
From the Mwananchi Newspaper of 5th September
Shirika la Masoko ya Karikaoo ni Shirika la Umma lililoanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Bunge Na.32 ya mwaka 1974 na kupewa majukumu ya kusimamia na kuendesha Soko Kuu la Kariakoo pamoja na Masoko mengine yatakayokuwa chini ya usimamizi wa Shirika pia kujenga Masoko mengine mapya katika Jiji la Dar es Salaam na kusimamia uendeshaji wake. Shirika linakaribisha maombi ya kazi


Katibu Muhtasi Oaraja la II

Sifa:
Awe na Elimu kiwango cha Stashahada ya Uwazili kutol Kazi na Majukumu
• Kufanya kazi za kuchapa barua mbalimbali za kikazi.
• Kupokea barua na kUZJW3sihsha sehemu husika.
• Kupokea, kuwasikiliza na kuwaelekeza wageni wa Shirika.
• Kufanya kazi zozote atakazopanglWa na mkuu wake


APPLICATION INSTRUCTIONS:

Masharti ya Jumla
Muombaji sharti awe raia wa Tanzania
Barua ya maombi, ikiambatishwa na wasifu binafsi pamoja na nakala ya vyeti vya kidato cha nne au sita, mafunzo, cheti cha kuzaliwa.
Nakala moja fiumwe kwa njia ya kawaida "hard copy' na nyingine kwa njia ya mtandao "soft copy' ifumwe kwa andersonshaka@yahoo.com
MENEJA MKUU
Shirika la masoko ya Kariakoo
SLP 15789
DAR ES SALAAM


0 comments:

Post a Comment