Monday, June 23, 2014

MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA III



MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA III
From Mwananchi of 23rd June
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-

Mtendaji Wa Kijiji Daraja III - Nafasi 1- Mshahara TGS B 

Sifa:
• Awe mwenye elirnu ya Kidato cha Nne (IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chua cha Serikali za Mitaa Hombolo, Do:loma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
Majukumu ya kazi:
• Afisa Masuull na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Kijlji
• Kusimamia Ulinzi na Usalama wa raia na mali zao, kuwa Mlinzi wa Amani na Msimamizi wa Utawala Bora katika kiJiji
• Kuratibu na kusimamia upangaji wa utekelezaji wa Mipango ya
Maendeleo ya Kijiji
• Katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya Kijiji
• Kutasfiri na kusimamia Sera, Sheria na Taratibu
• Kuandaa taarifa za Utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa,
umaskini na kuongeza uzalishaji mali
• Kiongozi wa Wakuu wa Vitengo vya kitaalam katika kijiji
• Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na Nyaraka za
kijiji
• Mwenyekiti wa kikao cha wataalamu waliopo katika kijiji
• Kupokea, kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi
• Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za kijiji; na
• Atawajibika kwa Mtendaji wa Kata.

APPLICATION INSTRUCTIONS:

SIFA ZA JUMLA:
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-

Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.


0 comments:

Post a Comment