From Mwananchi of 23rd June
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-
5. MLINZI - Nafasi 1 - Mshahara TGOS A
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-
5. MLINZI - Nafasi 1 - Mshahara TGOS A
Sifa:
• Awe amefuzu mafunzo ya Mgambo.Polisi/JKT
• Awe amemaliza kidato cha nne
Majukumu ya kazi:
• Atahakikisha mali vote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati
ya idhini. Hii ni pamoja na mali Illayoingia.
• Atalinda usalama wa majengo, ofisi na mali za ofisi mchana na usiku
• Atahakikisha milango na madirisha ya ofisi yanafungwa mwisho wa saa za kazi
• Atapambana na majanga yoyote yatakayotokea sehemu ya kazi
• Pamoja na kazi nyingine za ulinzi atakazopangiwa
• Awe amefuzu mafunzo ya Mgambo.Polisi/JKT
• Awe amemaliza kidato cha nne
Majukumu ya kazi:
• Atahakikisha mali vote ya ofisi inayotolewa langoni (nje ya ofisi) ina hati
ya idhini. Hii ni pamoja na mali Illayoingia.
• Atalinda usalama wa majengo, ofisi na mali za ofisi mchana na usiku
• Atahakikisha milango na madirisha ya ofisi yanafungwa mwisho wa saa za kazi
• Atapambana na majanga yoyote yatakayotokea sehemu ya kazi
• Pamoja na kazi nyingine za ulinzi atakazopangiwa
APPLICATION INSTRUCTIONS:
SIFA ZA JUMLA:
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.
0 comments:
Post a Comment