From Mwananchi of 23rd June
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-
Dereva Daraja II - Nafasi 1 - Mshahara TGOS A Sifa:
• Pwve na leseni daraja la C ya uendeshaji
• Awe na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali
• Awe na cheti cha majaribio ya ufundi daraja II.
Majukumu ya kazi:
• Ataendesha magari ya abiria (watumishi) au malori
• Atahakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote na -kufanya uchunguzi kabla na baada ya safari iii kugundua ubovu unaohitaji matengenezo
• Atafanya matengenezo madogo madogo katika gari na
• Atatunza na kuandika daftari la safari "log-book" kwa safari zote.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-
Dereva Daraja II - Nafasi 1 - Mshahara TGOS A Sifa:
• Pwve na leseni daraja la C ya uendeshaji
• Awe na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua miaka mitatu bila kusababisha ajali
• Awe na cheti cha majaribio ya ufundi daraja II.
Majukumu ya kazi:
• Ataendesha magari ya abiria (watumishi) au malori
• Atahakikisha gari na vyombo vyake vipo katika hali nzuri wakati wote na -kufanya uchunguzi kabla na baada ya safari iii kugundua ubovu unaohitaji matengenezo
• Atafanya matengenezo madogo madogo katika gari na
• Atatunza na kuandika daftari la safari "log-book" kwa safari zote.
APPLICATION INSTRUCTIONS:
SIFA ZA JUMLA:
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.
0 comments:
Post a Comment