|
"Moja ya mikakati yetu ni kuhakikisha asilimia 75 ya Watanzania wanapata umeme wa uhakika ifikapo mwaka 2025 ili kuondokana na umaskini". Ndivyo Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Sospeter Muhongo anavyomweleza Mwandishi wa gazeti la "The West Australian' Kim MacDonald, wakati alipohojiwa na Mwandishi huyo mapema leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam. |
0 comments:
Post a Comment