Saturday, August 17, 2013

Maziko ya Muasisi wa ASP NA CCM Mzee Aseid Ramadhan leo Unguja



Maziko ya Muasisi wa ASP NA CCM Mzee Aseid Ramadhan leo Unguja
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akiwa na viongozi wengine wa Serikali wakati wa kumswalia  Marehemu Mzee Ased Ramadhan.  Marehemu alikuwa Mtumishi wa Chama cha ASP na CCM,ambapo alishika nafasi mbali mbali zikiwemo Mkuu wa Utawala Makao Makuu ya ASP na Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja
 Wananchi walioshiriki mazishi ya Marehemu Mzee Ased Ramadhan wakibeba jeneza lenye mwili wa marehemu huyo Aliyefariki jana na kuzikwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe mjini Unguja
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akitia udongo katika kaburi la Marehemu Mzee Ased Ramadhan.  Picha na mdau Ramadhan Othman wa Ikulu, Zanzibar



0 comments:

Post a Comment