Sunday, August 18, 2013

DIAMOND MUSICA, FIVE STAR MODERN TAARAB ZILIVYOUMANA DAR LIVE



DIAMOND MUSICA, FIVE STAR MODERN TAARAB ZILIVYOUMANA DAR LIVE
Wanamuziki wa Diamond Musica wakiwajibika jukwaani.
Wanamuziki wa Five Star wakiwajibika stejini.
Didi Namba wa Diamond Musica akiimba.
Wanenguaji wa Diamond wakionyesha umahiri wao wa kunengua.
Ally J wa Five Star akifanya mambo stejini.
Baadhi ya mashabiki wakiserebuka.
Mashabiki wakilishana keki kwa upendo.
Husna Semhando akionyesha umahiri wake wa kunengua.
BENDI ya Diamond Musica na Five Star Modern Taarab usiku wa kuamkia leo ziliwapagawisha vilivyo mashabiki waliohudhuria katika onyesho la pamoja lililofanyika ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani wa Dar Live, uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar es Salaam.
(PICHA ZOTE ISSA MNALLY NA RICHARD BUKOS / GPL)



0 comments:

Post a Comment