Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakiwasili katika viunga vya makao makuu ya chama tawala mjini Dodoma katika sherehe ya uzinduzi wa Baraza la Ushauri la chama hicho
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kwa ikwete akisalimiana na wazee wa baraza la ushauri
Katibu Mkuu wa CCCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti kuzindua Baraza. Kushoto ni wajumbe wa baraza hiyo
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwasha king'ora kuzindua Baraza la Ushauri
JK, Dk shein, Pinda na Kinana wakiwa na wajumbe wa baraza la ushauri
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kwa ikwete akisalimiana na wazee wa baraza la ushauri
Katibu Mkuu wa CCCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti kuzindua Baraza. Kushoto ni wajumbe wa baraza hiyo
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwasha king'ora kuzindua Baraza la Ushauri
JK, Dk shein, Pinda na Kinana wakiwa na wajumbe wa baraza la ushauri
0 comments:
Post a Comment