Saturday, October 13, 2012

Polisi Dar wapambana na waandamanaji wa Kiislamu; Makanisa yaharibiwa


Askari wa jeshi la Polisi kikosi cha kutuliza ghasia wakiwadhibiti vijana waliokuwa wakileta vurugu eneo la mbagala kufuatia kijana mmoja anaesemekana anasoma kidato cha kwanza kukojolea mkojo Quraan na kusababisha hasira kwa waisilamu hassa vijana ambao walitapakaa mitaani na kuanza kuleta vuru.
Vijana waliosambaa mitaani na kuamsha vurugu kubwa kwenye eneo hilo la Mbagala Kizuiani.

Waisilamu waliotoka msikitini kwenye swala ya Ijumaa walikumbana na kimbembe cha kamatakamata hatakama hawakuwemo kwenye sakata hilo, alama ni kanzu na sijda



Hapa baadhi ya waisilamu walioamua liwalo naliwe nakuamua kuwatunishia msuli polisi nakusema pigeni mpendavyo hatoki mtu.


Barabara zilikua zikiharibiwa kwa moto ulikuwa ukiwashwa na waisilamu hao wenye hasira.
Maji ya kuwasha yalikuwepo ingawa hayakuweza kuzuia vurugu hizo.


Askari na watuhumiwa wakivuka pamoja kwenye mtaro wa maji taka.


Watuhumiwa wavurugu hizo wakipandishwa kwenye gari la polisi.



Related Posts:

  • VACANCY ANNOUNCEMENT_EGPAF TanzaniaVACANCY ANNOUNCEMENT The Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation [EGPAF] supports Tanzania's Ministry of Health and other stakeholders in the role out and strengthening of a broad scale of HIV programs through a Distric… Read More
  • Neno la leoVerse:           Psalm 91:11For He will command His angels concerning you to guard you in all your ways! - The Lord is interested in every detail of our lives.- He will keep you in ALL your ways.- He will do what needs to be … Read More
  • Country Programme Manager (CPM)Job Title : Country Programme Manager (CPM) Source : The Guardian, July 11, 2011 Requirements : University Degree in Social or Health Science discipline from an internationall… Read More
  • Fuelling Operators - 7 Posts , BP TanzaniaJob Title : Fuelling Operators - 7 Posts Source : The Guardian, July 11, 2011 Requirements : Advance Secondary Education with good passes/Full Technician Certificate (FTC) or… Read More
  • Country Programme Officer (CPO) TanzaniaJob Title : Country Programme Officer (CPO) Tanzania Source : The Guardian, July 11, 2011 Requirements : Possession of at least a first degree in social sciences, public healt… Read More

0 comments:

Post a Comment