Friday, September 21, 2012

Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Nchini (TPBC) yaipiga jeki BFT


Onesmo ngwi
--
Rais huyo aliyekuwa bondia maarufu wakati wa ngumi za ridhaa na kulipwa miaka ya 80 na 90 kiasi cha lupewa jina la "Piston Mover"(mwendo wa piston ya gari) kwa ajili ya kasi ya mikono na miguu yake alisema kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kufundisha ufundi kwa mabondia ili waweze kucheza ngumi za ufundi. 

"Kuna tofauti kubwa sana kati ya ngumi za ridhaa na ngumi za kulipwa" aliendelea kusisitiza Rais huyo.

"Wakati mabondia wa ridhaa wanapewa points wakati wanapopiga ngumi za ufundi za kichwani, bondia wa ngumi za kulipwa anatakiwa aweze kumzidi mpinzania wake kwa kila kitu" aliendelea kusisitiza Rais huyo.

Mabondia wetu wa ridhaa wanatakiwa wafundishwe namna ya kupiga ngumi za ufundi kichwani na ziwe nyingi ndipo wanaweza kushinda kwenye mashindano ya kimataifa" alimalizia kusisitiza Ngowi.

Ushirikiano wa TPBC na BFT unaleta sura mpya kwenye tasnia ya ngumi nchini na inaonyesha mwanga mzuri mbele ta safari.Mgeni rasmi katika fainali za mashindano hayo alikuwa ni Katibu Mkuu wa BMT bwana Henry Lihaya na alimshukuru Ngowi kwa msaada huo wa TPBC.

 Aidha, Ngowi alikabidhi baadhi ya zawadi kwa washindi walioshinda katika fainali hizi za mwaka 2012.

Related Posts:

  • Job Title : Internal Auditor Source : Daily News Requirements : - Masters Degree in Financial Management, Economics, Planning or Accounting and a holder of CPA (T) or its equivalent. - Must be compute… Read More
  • Job Title : Accountant Source : The Guardian Requirements : 1. Bachelors Degree in a Real Estate field of study for the Zonal Manager and Retail Officer positions, and a Bachelors Degree in A… Read More
  • Vacancy noticeOsupuko Lodges and Camps is looking for the following qualified staff to be part of a great team! 1.     Receptionist He/she must have the following qualifications and skills ·         Diploma/Certificate in Fro… Read More
  • PART TIME: WORK EXPERIENCE & INTERNSHIP OPPORTUNITYPART TIME: WORK EXPERIENCE & INTERNSHIP OPPORTUNITY Are you a college student in a field of accounting, or business administration, or any other business related fields , or Information Technology  from a nearby co… Read More
  • JOB OFFER - ACCOUNTANTJob offer in Moshi for trustful, experienced and motivated ACCOUNTANT BC Afromaxx Ltd is offering the position of an accountant to a motivated, qualified and experienced person who is ready to achieve new … Read More

0 comments:

Post a Comment