Mwanasheria wa wakazi wa zilizokua kota za bandari Gerezani , Dkt. Sengondo Mvungi (kulia) akizungumza na wateja wake. Dar es salaam Katika moja ya mikutano na wakazi hawio kuhusu maendeleo ya kesi yao iliyo mahakama kuu ya Tanzania na kwa mujibu wa kesy namba 44 ya mwaka 2012 taarifa zilizochapichwa na mtendaji mkuu wa wakara wa usafiri wa haraka 'DART' kwa wahanga wakapokee fidia zao linakiuka amri ya Mahakama Kuu,iliyotajwa tarehe 28,6,2012 hivyo mnashauliwa kuto tii agizo hilo pia waanga wa bomoa bomoa wanalifiwa kuhudhuria kikao cha pamoja na wakili ni tarhe 11,8,2012 katika ukumbi mtakaoarifiwa na kamati yao Imetolewa na DR,Sengondo Mvungi
Wednesday, August 8, 2012
TANGAZO KWA UMMA YAHUSU WANANCHI KWA UJUMLA NA WAHANGA WA BOMOA BOMOA NYUMBA ZA WAKAZI WA KOTA ZA GEREZANI KARIAKOO
By Gemmstore at 10:18 AM
No comments
Related Posts:
Auditor ( Forensic Auditor) -x 5 Auditor ( Forensic Auditor) -x 5 THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA PRESIDENT'S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref. Na EA.7/96/0… Read More
Engineering Jobs - Tanzanians - 5/6/2015 Engineering Jobs - Tanzanians - 5/6/2015 Ethiopia Resident Engineer for Water Supply & Sanitation Water … Read More
IT Intern for CRSPT Lindi and Mtwara Office IT Intern for CRSPT Lindi and Mtwara Office Aga Khan Foundation Tanzania Coastal Rural Support Programme-CRSP (T) Employment opportunity is southern Tanzania, Mtwara. … Read More
Midwife : a) Lindi, b) Mtwara Midwife : a) Lindi, b) Mtwara Midwife, Duty station: a) Lindi, b) Mtwara A.Responsibilities The Midwife is responsible for implementing daily operational … Read More
Accounting Assistant : Dar es Salaam Accounting Assistant : Dar es Salaam Accounting Assistant, Duty station: Dar es Salaam Responsibilities The accounting assistant is responsible for se… Read More
0 comments:
Post a Comment