Mwanasheria wa wakazi wa zilizokua kota za bandari Gerezani , Dkt. Sengondo Mvungi (kulia) akizungumza na wateja wake. Dar es salaam Katika moja ya mikutano na wakazi hawio kuhusu maendeleo ya kesi yao iliyo mahakama kuu ya Tanzania na kwa mujibu wa kesy namba 44 ya mwaka 2012 taarifa zilizochapichwa na mtendaji mkuu wa wakara wa usafiri wa haraka 'DART' kwa wahanga wakapokee fidia zao linakiuka amri ya Mahakama Kuu,iliyotajwa tarehe 28,6,2012 hivyo mnashauliwa kuto tii agizo hilo pia waanga wa bomoa bomoa wanalifiwa kuhudhuria kikao cha pamoja na wakili ni tarhe 11,8,2012 katika ukumbi mtakaoarifiwa na kamati yao Imetolewa na DR,Sengondo Mvungi
Wednesday, August 8, 2012
TANGAZO KWA UMMA YAHUSU WANANCHI KWA UJUMLA NA WAHANGA WA BOMOA BOMOA NYUMBA ZA WAKAZI WA KOTA ZA GEREZANI KARIAKOO
By Gemmstore at 10:18 AM
No comments
Related Posts:
Segment Proposition & Solutions Manager at Standard Chartered Segment Proposition & Solutions Manager at Standard Chartered Job Description … Read More
Head, Priority Client Relationships at Standard Chartered Head, Priority Client Relationships at Standard Chartered Job Description … Read More
Team Leader, BC Acquisition at Standard Chartered Team Leader, BC Acquisition at Standard Chartered Job Description … Read More
CIC Generalist at Standard Chartered CIC Generalist at Standard Chartered Job Description … Read More
Regional Account Manager - East Africa Regional Account Manager - East Africa In this role, based in Nairobi, reporting to the BU Manager, you will be responsible for ge… Read More
0 comments:
Post a Comment