Sunday, August 19, 2012

SIMBA YATWAA UBINGWA WA MICHUANO YA SUP8R


Simba Bingwa
Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia na kombe lao baada ya kuifunga Mtibwa Sugar kwa mabao 4-3 katika mchezo wa fainali ya michuano ya SUP8R uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mh. Dk Fenella Mkangala akiwapa medali wachezaji wa Simba.
Wachezaji wa Simba wakimbeba kocha wao Suleiman Matola baada ya mchezo
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage akiwapungia mkono mashabiki wa Simba.
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mh. Dk Fenella Mkangala akimkabidhi kombe nahodha wa Simba, Edward Christopher
Furaha ya ushindi.

Related Posts:

  • Chief Executive OfficerJob Title : Chief Executive Officer Source : The Guardian, September 26, 2011 Requirements : A good Bachelor Degree in any field plus Masters Degree preferably in the areas of Business Administration, Development Studies, Wa… Read More
  • Executive Secretary Job Title : Executive Secretary Source : The Guardian, September 26, 2011 Requirements : University Graduate. Degree in Business Administration or Law an added advantage Job Description :To assist the Executive Committee… Read More
  • Research Scientist (Study Co-Ordinator) Job Title : Research Scientist (Study Co-Ordinator) Source : The Guardian, September 26, 2011 Requirements : Masters in Epidemiology, Public Health or (Population) demography Job Description :Co-develop and implement a H… Read More
  • Finance Officer Job Title : Finance Officer Source : The Guardian, September 26, 2011 Requirements : Bachelors Degree or equivalent in Accounts or Finance from a recognised higher learning institution with at least 3 years working expe… Read More
  • BARCLAYS BANK TANZANIA VACANCIES_TanzaniaBARCLAYS BANK TANZANIA VACANCIES   - HEAD OF COMPLIENCE ( REF COMP/BBT/03/11) DSM,MWANZA - HEAD OF PREMIER LIFE ( REF RT/BBT/02/11) DSM,MWANZA - EXECUTIVE ASSISTANT TO THE MANAGING DIRECTOR ( REF MD/BBT/01/11) DSM - MANAGEME… Read More

0 comments:

Post a Comment