Tuesday, December 2, 2014

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MADEREVA



TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI ZA MADEREVA
 SHIRIKA LA USAFIRI DAR ES SALAAM (UDA)
 
SHIRIKA la Usafiri Dar es Salaam (UDA) linawatangazia Watanzania wote hususan wakazi wa jiji la Dar es Salaam kwamba linahitaji kuajiri madereva  kwa ajili ya kuendesha mabasi yake hapa jijini.
 
SIFA ZA WAOMBAJI
Waombaji wa kazi ya udereva wanatakiwa kuwa na umri wa kuanzia miaka 30-55, ujuzi wa udereva wa mabasi kutoka katika vyuo vya VETA, NIT, au chuo kingine kinachotambulika na Mamlaka ya Elimu ya Ufundi nchini (NECTA). Pia wanapaswa kuwa na leseni ya udereva daraja C Kavu (Class C Plain) na daraja C1(Class C1) , rekodi nzuri ya utendaji na afya njema.
 
NAMNA YA KUOMBA
Waombaji wote walete barua zao za maombi wakiambatanisha na barua za udhamini, walete barua hizo kwa mkono katika Ofisi ya Afisa Rasilimali watu na Utawala, Makao Makuu ya UDA, KAMATA COMPLEX, mahali zilipokuwa ofisi za mabasi ya SCANDINAVIA.
 
Wanawake wanyesifa wanahimizwa zaidi.
KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA NAMBA 255222127421, 0766777754, 0766777753 ,0754776700, 0715776500,0712000037 au wasiliana kwa barua pepe info@uda.co.tz, uda@umojainvestments.com au kwa sanduku la posta
Shirika la Usafiri Dar Es Salaam (UDA)
S.L.P 872
Dar Es Salaam,Tanzania
LIMETOLEWA NA OFISI YA MAHUSIANO YA UMMA UDA

DESEMBA 01, 2014.


Related Posts:

  • Adviser to Global Green Growth Institute Adviser to Global Green Growth Institute Ministry of Foreign Affairs of Denmark Adviser to Global Green Growth Institute Republic of Korea … Read More
  • Technical adviser Technical adviser Center International for Development and Research (CIDR), is an International Development NGO which one of the main areas of expertise and intervention … Read More
  • Analysts - Economics Analysts - Economics This is an excellent opportunity to join an analytical community supporting colleagues and Ministers engaged in work which matters to millions of pe… Read More
  • Senior Economist Senior Economist Senior Economist Permanent position - based in Brussels The Community of European Railway and Infrastructure Companies (CER) is currently seeking… Read More
  • AidEx, Brussels AidEx, Brussels AidEx is the leading international event for professionals in aid and development. Taking place each year in Brussels, AidEx attrac… Read More

0 comments:

Post a Comment