Monday, August 26, 2013

MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AWATAKA WAFANYA KAZI KATIKA MAHOTELI KUSAIDIA KUWAFICHUA WAHALIFU



MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AWATAKA WAFANYA KAZI KATIKA MAHOTELI KUSAIDIA KUWAFICHUA WAHALIFU
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik amewataka wafanyakazi katika mahoteli kusaidia vyombo vya ulinzi na usalama iwapo wataona kuna mteja wao wanayemhisi kuwa ni muhalifu kwa kutoa taarifa kunakohusika mara moja.
Mhe Sadiki alitoa rai hiyo wakati wa uzinduzi wa Hoteli ya kisasa ya Nemax Royal Hotel iliyopo wilaya ya kinondoni jijini Dar es salaam.
Amesema katika nchi nyingine wafanyakazi wa mahoteli wamekuwa mstari wa mbele katika kulinda nchi zao kwa kutoatoa taarifa kwa vyombo vya usalama iwapo wanaona mteja aliyepanga katika hoteli yao si mtu salama
Amesema kila Mtanzania ana wajibu wa kuhakikisha usalama wa nchi Mkuu huyo Bwana
 Mkuu wa Mkoa Said Meck Sadiki akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Hotli ya Nemax Royal Hotel kulia kwake ni Mkurugenzi mkuu wa hoteli hiyo bwana Rupia Jonathani Rupia
Hoteli ya kisasa ya Nemax Royal Hotel iliyopo wilaya ya kinondoni jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik akihutubia katika sherehe hizo
Mkuu wa Mkoa katikati akishirikina na Mkurugenzi mkuu wa Nemax Royal Hetel Rupia Jonathani Rupia pamoja na mkewe mama  Jonathan Rupia katika kukata keki ya uzinduzi wa hoteli hiyo picha na Chris mfinanga



Related Posts:

  • Neno la leoHere is your word for today:Verse:           Psalm 16:8I know the Lord is always with me. I will not be shaken, for He is right beside me! - How often do you think about the Lord?- The truth is that He is closer than you thin… Read More
  • Job Positions at EGPAF Tanzania EGPAF TANZANIA JOB OPPORTUNITIES ANNOUNCEMENT    Title:                         Field Office Program Co-coordinator   Location:                   Tabora   Reports To:               Associate Director of Field Programs   … Read More
  • Hons/MA applications for Global Labour UniversityEnquiries to Pulane at glu.southafrica@wits.ac.za.2012 Applications for  Honours and Masters Degrees in  Labour, Policy & Globalisation for Trade Unionists The Global Labour University (GLU) Programme at Wits University … Read More
  • Neno la leoHere is your word for today:Verse: Exodus 4:12Now go! I will be with you as you speak, and I will instruct you in what to say.- God wants to lead and guide you in every aspect of life.- He wants to give you the rig… Read More
  • Nafasi za Kazi Za Kumwaga-UDOMV A C A N C I E S   The University of Dodoma invites applications from suitably qualified Tanzanians to fill the following positions.   1. POSITION: ACCOUNTANT (5 Positions)   Required qualifications Bachelor Degree/Advance… Read More

0 comments:

Post a Comment