Wednesday, August 14, 2013

KCB BENKI YATOA MSAADA WA MAASHINE YA ULTRASOUND YA TSH MILIONI 14 ARUSHA



KCB BENKI YATOA MSAADA WA MAASHINE YA ULTRASOUND YA TSH MILIONI 14 ARUSHA
 Meneja wa Benki ya KCB tawi la Arusha,Bi.Juvita Lubuva(kulia)akisalimiana na maofisa wa ofisi ya Meya wa jiji la Arusha walipofika katika Kituo cha Afya cha Ngarenaro kwa ajili ya kukabidhiwa  msaada wa  mashine ya Ultrasound yenye thamani ya Tsh Milioni 14  iliyotolewa na benki hiyo  kwa Kituo  hicho cha Afya.
 Mwakilishi wa Meya wa jiji la Arusha Bw.Michael Kivuyo(kushoto)akipokea msaada wa  mashine ya Ultrasound yenye thamani ya Tsh Milioni 14  kwa niaba ya Kituo cha Afya cha Ngarenaro,kutoka kwa Meneja wa Benki ya KCB tawi la Arusha,Bi.Juvita Lubuva(kulia)
Meneja wa Benki ya KCB tawi la Arusha,Bi.Juvita Lubuva(kulia)akimsikiliza jambo Mwakilishi wa Meya wa jiji la Arusha Bw.Michael Kivuyo(kushoto)pindi alipomkabidhi msaada wa  mashine ya Ultrasound yenye thamani ya Tsh Milioni 14 iliyotolewa na benki hiyo  kwa Kituo cha Afya cha Ngarenaro.



0 comments:

Post a Comment