Tuesday, November 13, 2012

Taswira Kutoka Mkutano Mkuu Wa CCM Dodoma.


 Wajumbe wa Mkutano Mkuu, Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal (kulia), Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dk. Salim Ahmed Salim, wakifuatilia matukio kwenye mkutano huo, ukumbini.
  Kamanda Asas wa UVCCM mkoa wa Iringa akitazama nakala ya UHURU alipotembelea banda la kampuni ya Uhuru Publications Ltd, wanaochapishaji wa magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, kwenye viwanja vya Kizota
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete na meza kuu, wakishiriki kucheza wimbo maalum ulimbwa na Vicky Kamata kabla ya kuanza mkutano huo
                        
                 PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
                                   

0 comments:

Post a Comment