Ni miaka kumi sasa tangu ututoke mzee nnauye. Mapenzi yako yaliyotukuka kwa nchi yako yataendelea kukumbukwa milele. Ulikuwa amana ya Mungu kwa familia yako na taifa zima kiujumla, leo Mungu ameichukua amana hiyo toka kwetu, hatuna cha kulaumu bali kushukuru kwani kazi ya mungu haina makosa na kila nafsi itayaonja mauti, tulikupenda sana comrade lakini mapenzi yetu kwako hayakufua dafu mbele ya mapenzi ya mungu kwako.
Mke wako Mwanaisha, watoto wako Nape, Mariam, Joseph, Winnie, Mwate, Samora, Mussa na Bimdo wanakukumbuka na kukuombea sana kwa mungu. Wakwe zako January, Peter,Paul na Grace wanakukumbuka pia. Wajukuu zako Selemani, Adam, Otilia, Sanya, Kareen, Frank Jr wanakukumbuka pia.
Marafiki zako na watanzania kwa ujumla pia wanakukumbuka sana mzee Nnauye.
INNALILAAAHI WA INNAILAIHI RAAJIUUM!
Tuesday, December 6, 2011
Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye leo!
By Gemmstore at 1:19 PM
No comments
Related Posts:
Dk Ulimboka: Mfanyakazi Ikulu alihusika kuniteka. Dk Ulimboka alipotua akitokea kwenye matibabu Fredy AzzahHATIMAYE Kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk Steven Ulimboka ameamua kuvunja ukimya, baada ya kumtaja kinara wa tukio la kutekwa kwake na kisha kutupwa kwe… Read More
Community Media Evaluation in South Sudan Starting date: End of October/ beginning of November 2012Application deadline: 24th of October 2012 Background on the project WCH has been working in South Sudan since 2005. In 2010, as an attempt to encourage social… Read More
U.S. Embassy Registered Professional Nurse POSITION: Registered Professional Nurse, FSN-09; FP-05* OPENING DATE: October 16, 2012 CLOSING DATE: October 30, 2012 WORK HOURS: When Actually Employed (WAE) SALARY: * EFM/MOH/NOR: Position Grade 05 (Starting sala… Read More
Ajali hii iliwafurahisha wengi ilivyotokea karibu na kituo cha Tazara jijini Dar es Salaam jana alasiri. Hakika si kila ajali itokeayo barabarani husikitisha bali zipo ambazo pindi zinapotokea watu hufurahi na kustaajabu vile ajali ilivyotokea. Hivi ndivyo ilivyolikumba gari hilo dogo Toyota Spacio T 629BRL iliyokuwa ikitok… Read More
Tigo Rwanda BRAND MANAGER As Image Specialist responsible for: Ensuring that all Tigo brand design executions for internal and external customers always comply with the Tigo brand design manual Developing POS communication complying with Tigo … Read More
0 comments:
Post a Comment