Monday, June 23, 2014

Msaidizi Wa Kumbukumbu Daraja II - Nafasi 3



Msaidizi Wa Kumbukumbu Daraja II - Nafasi 3
From Mwananchi of 23rd June
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-

Msaidizi Wa Kumbukumbu Daraja II - Nafasi 3 - Mshahara TGS B

 Sifa:
• Awe na cheti cha Utunzaji Kumbukumbu katika mojawapo ya fani za Afya, Masjala, Mahakama na Ardhi
Majukumu ya kazi:
• Kutafuta kumbukumbu/nyaraka/mafaili yanayohitajiwa na wasomaji
• Kudhibiti upokeaji, uandikishaji wa kumbukumbu/nyaraka
• Kuweka/kupanga kumbukumbu/nyaraka katika reki
• Kuweka kumbukumbu (barua, nyaraka nk) katika mafaili/majalada
• Kazi nyingine atakazopangiwa.

APPLICATION INSTRUCTIONS:

SIFA ZA JUMLA:
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-

Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.


0 comments:

Post a Comment