From Mwananchi of 23rd June
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-
2. KATIBU MUHTASI DARAJA III - Nafasi 2 - Mshahara
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-
2. KATIBU MUHTASI DARAJA III - Nafasi 2 - Mshahara
Sifa:
• Awe amehudhuria mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa hatua ya tatu
• Awe amefaulu soma la hatimkato ya Kiswahili na kiingereza maneno 80 kwa dakika moja
• Awe amepata mafunzo ya kompyuta kutoka chua cho:hote kinachotambulika na Serikali na kupata cheti katika proqrarn za Windows, Microsoft Office, Internet, E-Mail na Publisher.
Majukumu ya kazi:
• Atachapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida
• Atapokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa
• Atasaidia kutafuta na kumpatia mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini
• Atafikisha maelekezo ya mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao
• Awe amehudhuria mafunzo ya Uhazili na kufaulu mtihani wa hatua ya tatu
• Awe amefaulu soma la hatimkato ya Kiswahili na kiingereza maneno 80 kwa dakika moja
• Awe amepata mafunzo ya kompyuta kutoka chua cho:hote kinachotambulika na Serikali na kupata cheti katika proqrarn za Windows, Microsoft Office, Internet, E-Mail na Publisher.
Majukumu ya kazi:
• Atachapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida
• Atapokea wageni na kuwasaili shida zao na kuwaelekeza sehemu wanapoweza kushughulikiwa
• Atasaidia kutafuta na kumpatia mkuu wake majalada, nyaraka au kitu chochote kinachohitajika katika shughuli za kazi hapo ofisini
• Atafikisha maelekezo ya mkuu wake wa kazi kwa wasaidizi wake na kumuarifu kuhusu taarifa zozote anazokuwa amepewa na wasaidizi hao
APPLICATION INSTRUCTIONS:
SIFA ZA JUMLA:
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.
0 comments:
Post a Comment