Monday, June 23, 2014

FUNDI SANIFU MSAIDIZI


FUNDI SANIFU MSAIDIZI
From Mwananchi of 23rd June
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero anawataiqazta wananchi wote wenye sifa, nafasi wazi 9 za kazi. Nafasi hizo nl;-

Fundi Sanifu Msaidizi - Nafasi 1 -Mshahara TGS A

 Sifa:
• Waliomaliza kidato cha Nne katika masomo ya Sayansi na kufuzu
mafunzo ya mwaka mmoja katika moja ya fani za Ufundl kutoka Chuo
kinachotambuliwa na Serikali
• Waliomaliza Kidato cha Nne wenye cheti cha majaribio ya Ufundi Hatua ya II kutoka Chuo cha Ufundi katika mojawapo ya fani za ufundi
Majukumu ya kazi:
• Kufanya matengenezo ya kawaida (Service) kwa magari na mitambo ya Halmashauri
• Kuhakikisha kuwa magari na mitambo ya Halmashauri iko kwenye hali nzuri
• Kukagua magonjwa ya magari na kutoa ushauri kwa fundi mkuu wa magari kuhusiana na ubovu wa magari hayo.

APPLICATION INSTRUCTIONS:

SIFA ZA JUMLA:
l. Waombaji wote wawe na umri kati ya miaka 15 - 40
Wawe wamemaliza Kidato cha Nne au Sita
Wawe raia wa Tanzania.
Mwombaji anatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa:-

Mkurugenzi Mtendaji Wilaya,
S.L.P.263,
IFAKARA/ KILOMBERO.
maombi yaambatane na nakala ya vyeti vya shule na vyuo parnoja na picha 2 (passport size)
Maombl yatumwe kuanzia tarehe 23/06/2014 na mwisho wa kupokea maombi rn tarehe 11/07/2014 saa 9.30 alasiri.
Azimina Mbilinyi
Mkurugenzi Mtendaji wilaya
KILOMBERO.


0 comments:

Post a Comment