Monday, June 1, 2015

AJIRA MPYA ZA WALIMU KWA MWAKA 2015



AJIRA MPYA ZA WALIMU KWA MWAKA 2015
Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI inatangaza ajira ya wahitimu wa mafunzo ya ualimu na mafundi sanifu maabara katika mamlaka ya Serikali za Mitaa.


kwa Maelekezo zaidi tafadhali soma taarifa zifuatazo:
===============================================================
CHANZO: TAMISEMI


0 comments:

Post a Comment