Tuesday, November 25, 2014

IDARA YA UHAMIAJI KUITWA MAFUNZONI - NOV 2014


IDARA YA UHAMIAJI KUITWA MAFUNZONI - NOV 2014
Kamishna Mkuu wa Idara ya Uhamiaji anawatangazia wote waliofaulu usaili wa nafasi ya Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji na kutangazwa kupitia tovuti ya Idara ya Uhamiaji, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Gazeti la Dailynews la Tarehe 14 Julai, 2014 kuwa wanatakiwa kuripoti Kitengo cha Utumishi Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji, mtaa wa Loliondo Kurasini Dar es salaam tarehe 27 Novemba, 2014 saa mbili asubuhi kwa ajili ya safari ya kwenda Mafunzoni Chuo cha Polisi Moshi.

Atakayesoma tangazo hili amjulishe na mwingine.
TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA
KAMISHNA MKUU WA UHAMIAJI.


0 comments:

Post a Comment